Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 19:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Yule kijima akamwambia, Haya yote nimeyashika tangu utoto wangu: nimepmigukiwa nini tena?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Huyo kijana akamwambia, “Hayo yote nimeyazingatia; nifanye nini zaidi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Huyo kijana akamwambia, “Hayo yote nimeyazingatia; nifanye nini zaidi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Huyo kijana akamwambia, “Hayo yote nimeyazingatia; nifanye nini zaidi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Yule kijana akasema, “Hizi zote nimezishika. Je, bado nimepungukiwa na nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Yule kijana akasema, “Hizi zote nimezishika. Je, bado nimepungukiwa na nini?”

Tazama sura Nakili




Mathayo 19:20
12 Marejeleo ya Msalaba  

Waheshimu baba yako na mama yako, na, Mpende jirani yako kama nafsi yako.


Yesu akamwambia, Ukitaka kuwa mkamilifu, enenda ukauze mali zako, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kiisha njoo unifuate.


Akamjibu baba yake akamwambia, Tazama, mimi nimekutumikia hii miaka mingapi: wala sikukhalifu amri yako wakati wo wote wala hukunipa mimi mwana mbuzi wakati wo wote illi nifurahi pamoja na rafiki zangu.


Nawaambieni, Kadhalika itakuwako furaha mbinguni kwa mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa wenye haki tissa na tissaini, wasiohitaji toba.


Nao wakazidi kumhoji, akajiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.


Na mimi nalikuwa hayi hapo kwanza hila sharia; illa ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, na mimi nikafa.


Na hivyo sharia imekuwa mwalimu wa kutuleta kwa Kristo, illi tufanyiziwe wema kwa imani.


kwa jinsi ya haki ipatikanayo kwa sharia sikuwa na khatiya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo