Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 19:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Waheshimu baba yako na mama yako, na, Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Waheshimu baba yako na mama yako; na, Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Waheshimu baba yako na mama yako; na, Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Waheshimu baba yako na mama yako; na, Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 waheshimu baba yako na mama yako, na umpende jirani yako kama nafsi yako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 waheshimu baba yako na mama yako, na umpende jirani yako kama nafsi yako.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 19:19
15 Marejeleo ya Msalaba  

Yule kijima akamwambia, Haya yote nimeyashika tangu utoto wangu: nimepmigukiwa nini tena?


Na ya pili yafanana nayo, ndiyo hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako.


Mmesikia walivyoambiwa, Mpende jirani yako, na, Mchukie adui yako:


Nae akajibu akasema, Mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote; na jirani yako kama nafsi yako.


Maana ile, Usizini, Usiue, Usiibe, Usishududu uwongo, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani wako kama nafsi yako.


Maana sharia yote imetimilika katika neno moja, nalo ni hili, Umpende jirani yako kama nafsi yako.


Illakini mkiitimiza sharia ya kifalme kama ilivyoandikwa. Mpende jirani yako kama nafsi yako, mwatenda vyema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo