Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 19:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Akamwambia, Zipi? Yesu akasema, Usiue, Usizini, Usiibe, Usishuhudu uwongo,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Yule mtu akamwuliza, “Amri zipi?” Yesu akasema, “Usiue, Usizini, Usiibe, Usitoe ushahidi wa uongo,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Yule mtu akamwuliza, “Amri zipi?” Yesu akasema, “Usiue, Usizini, Usiibe, Usitoe ushahidi wa uongo,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Yule mtu akamwuliza, “Amri zipi?” Yesu akasema, “Usiue, Usizini, Usiibe, Usitoe ushahidi wa uongo,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Yule mtu akamuuliza, “Amri zipi?” Isa akamjibu, “Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Yule mtu akamuuliza, “Amri zipi?” Isa akamjibu, “Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo,

Tazama sura Nakili




Mathayo 19:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wazijua amri, Usiue, Usizini, Usiibe, Usishuhudu uwongo, Usidanganye, Waheshimu haha yako na mama yako.


Wazijua amri, Usizini, Usiue, Usiibe, Usishuhudu uwongo, Waheshimu baba yako na mama yako.


Kwa maana wale wote walio wa matendo ya sharia, wako chini ya laana; maana imeandikwa, Amelaaniwa killa mtu asiodumu katika yote yaliyoandikwa katika kitabu cha sharia, ayafanye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo