Mathayo 19:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Mtu mmoja akamwendea akamwambia, Mwalimu mwema, nitende jambo gani jema, illi nipate uzima wa milele? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Mtu mmoja alimjia Yesu, akamwuliza, “Mwalimu, nifanye kitu gani chema ili niupate uhai wa milele?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Mtu mmoja alimjia Yesu, akamwuliza, “Mwalimu, nifanye kitu gani chema ili niupate uhai wa milele?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Mtu mmoja alimjia Yesu, akamwuliza, “Mwalimu, nifanye kitu gani chema ili niupate uhai wa milele?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Mtu mmoja akamjia Isa na kumuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye jambo gani jema ili nipate uzima wa milele?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Mtu mmoja akamjia Isa na kumuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye jambo gani jema ili nipate uzima wa milele?” Tazama sura |