Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 19:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Akaweka mikono yake juu yao, akatoka huko.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Basi, akawawekea mikono, kisha akaondoka mahali hapo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Basi, akawawekea mikono, kisha akaondoka mahali hapo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Basi, akawawekea mikono, kisha akaondoka mahali hapo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Naye akaweka mikono yake juu yao, na akaondoka huko.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Naye akaweka mikono yake juu yao, na akaondoka huko.

Tazama sura Nakili




Mathayo 19:15
6 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Yesu akasema, Waacheni vitoto, wala msiwakataze kuja kwangu; kwa maana walio mfano wa hawo, ufalme wa mbinguni ni wao.


Mtu mmoja akamwendea akamwambia, Mwalimu mwema, nitende jambo gani jema, illi nipate uzima wa milele?


Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.


Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa kwa mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa kwa mumewe; kama isingekuwa bivyo, watoto wenu wangekuwa si safi; bali sasa ni watakatifu.


na ya kuwa tangu utoto umeyajua maandiko matakatifu, yawezayo kukuhekimisha hatta upate wokofu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo