Mathayo 19:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Lakini yeye akawaambia, Si wote wawezao kulipokea neno hili, illa wale waliojaliwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Yesu akawaambia, “Si wote wanaoweza kulipokea fundisho hili, isipokuwa tu wale waliojaliwa na Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Yesu akawaambia, “Si wote wanaoweza kulipokea fundisho hili, isipokuwa tu wale waliojaliwa na Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Yesu akawaambia, “Si wote wanaoweza kulipokea fundisho hili, isipokuwa tu wale waliojaliwa na Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Isa akawaambia, “Si watu wote wanaoweza kupokea neno hili, isipokuwa wale tu waliojaliwa na Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Isa akawaambia, “Si watu wote wanaoweza kupokea neno hili, isipokuwa wale tu waliojaliwa na Mungu. Tazama sura |