Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 19:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Wanafunzi wake wakamwambia, Mambo ya mtu na mkewe yakiwa liivi, haifai kuoa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Wanafunzi wake wakamwambia, “Ikiwa mambo ya mume na mkewe ni hivyo, ni afadhali kutooa kabisa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Wanafunzi wake wakamwambia, “Ikiwa mambo ya mume na mkewe ni hivyo, ni afadhali kutooa kabisa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Wanafunzi wake wakamwambia, “Ikiwa mambo ya mume na mkewe ni hivyo, ni afadhali kutooa kabisa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Wanafunzi wake wakamwambia, “Kama hali ndiyo hii kati ya mume na mke, ni afadhali mtu asioe!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Wanafunzi wake wakamwambia, “Kama hali ndiyo hii kati ya mume na mke, ni afadhali mtu asioe!”

Tazama sura Nakili




Mathayo 19:10
15 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini yeye akawaambia, Si wote wawezao kulipokea neno hili, illa wale waliojaliwa.


Nami nawaambia ninyi, Killa mtu atakaemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya asharati, akaoa mwingine, azini; nae amwoae yule aliyeachwa azini.


Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni kheri wakae kama mimi nilivyo.


wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru kujiepusha na vyakula ambavyo Mungu aliviumba vopokewe kwa shukrani na walio na imani na wenye kuijua sana kweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo