Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 18:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Na ye yote atakaepokea kitoto kimoja mfano wa hiki kwa jina langu, anipokea mimi:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Yeyote anayempokea mtoto mmoja kama huyu kwa jina langu, ananipokea mimi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Yeyote anayempokea mtoto mmoja kama huyu kwa jina langu, ananipokea mimi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Yeyote anayempokea mtoto mmoja kama huyu kwa jina langu, ananipokea mimi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 “Yeyote amkaribishaye mtoto mdogo kama huyu kwa Jina langu, anikaribisha mimi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 “Yeyote amkaribishaye mtoto mdogo kama huyu kwa Jina langu, anikaribisha mimi.

Tazama sura Nakili




Mathayo 18:5
12 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi, ye yote anyenyekeae kama kitoto hiki, huyo ndiye aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni.


bali atakaekosesha mmoja wa wadogo hawa waniaminio, yamfaa afungwe jiwe kubwa la kusagia shingoni mwake, na kutoswa katika kilindi cha bahari.


Na mfalme atajibu, akiwaambia, Amin, nawaambieni. Kadiri mlivyomtendea mmojawapo katika hawo ndugu zangu walio wadogo, mlinitendea mimi.


Nae atawajibu, akinena, Amin, nawaambieni, Kadiri msivyomtendea mmojawapo katika hawo walio wadogo, na mimi hamkunitendea.


kwa maaua killa aombae hupokea; nae atafutae huona, nae abishae alafunguliwa.


Mtu akimpokea kitoto kimoja wa namna hii kwa jina langu, anipokea mimi: na mtu akinipokea mimi, hanipokei mimi, bali yeye aliyenituma.


Kwa kuwa ye yote atakaewanywesha ninyi kikombe cha maji kwa jina langu, kwa kuwa ninyi watu wa Kristo, amin nawaambieni hatakosa thawabu yake.


akawaambia, Killa mtu atakaempokea kitoto hiki kwa jina langu, anipokea mimi, na killa mtu atakaenipokea mimi, ampokea yeye aliyenituma. Maana yeye aliye mdogo miongoni mwenu ninyi nyote, huyu atakuwa mkubwa.


Amin, amin, nawaambieni, Yeye ampokeae ye yote nimpelekae, anipokea mimi; nae anipokeae mimi, ampokea yeye aliyenipeleka.


na jaribu lililowapata katika mwili wangu hamkulidharau wala kulikataa, bali mlinipokea kama malaika wa Mungu, kama Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo