Mathayo 18:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 Bassi, ye yote anyenyekeae kama kitoto hiki, huyo ndiye aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Yeyote anayejinyenyekesha kama mtoto huyu, huyo ndiye aliye mkubwa katika ufalme wa mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Yeyote anayejinyenyekesha kama mtoto huyu, huyo ndiye aliye mkubwa katika ufalme wa mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Yeyote anayejinyenyekesha kama mtoto huyu, huyo ndiye aliye mkubwa katika ufalme wa mbinguni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Kwa hiyo mtu yeyote anyenyekeaye kama huyu mtoto, ndiye aliye mkuu kuliko wote katika ufalme wa mbinguni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Kwa hiyo mtu yeyote anyenyekeaye kama huyu mtoto, ndiye aliye mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni. Tazama sura |