Mathayo 18:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192133 nawe, je, haikukupasa kumrehemu mjoli wako, kama mimi nilivyokurehemu wewe? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Je, haikukupasa kumhurumia mtumishi mwenzako kama mimi nilivyokuhurumia wewe?’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Je, haikukupasa kumhurumia mtumishi mwenzako kama mimi nilivyokuhurumia wewe?’ Tazama sura |