Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 18:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 nawe, je, haikukupasa kumrehemu mjoli wako, kama mimi nilivyokurehemu wewe?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia?’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Je, haikukupasa kumhurumia mtumishi mwenzako kama mimi nilivyokuhurumia wewe?’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Je, haikukupasa kumhurumia mtumishi mwenzako kama mimi nilivyokuhurumia wewe?’

Tazama sura Nakili




Mathayo 18:33
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo bwana wake akamwita, akamwambia, Ewe mtumishi mwovu, nalikusamehe deni ile yote, uliponisihi:


Bwana wake akaghadhabika, akampeleka kwa watesaji, hatta atakapoilipa deni ile yote.


Wa kheri wenye rehema: maana hawo watarehemiwa.


Utusamehe deni zetu, kama sisi tunavyowasamehe wadeni wetu.


tena mwe wafadhili ninyi kwa ninyi, wenye huruma, mkiachiliana, kama na Mungu katika Kristo alivyowaachilia ninyi.


mkichukuliana, na kuachiliana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mtu; jinsi Kristo alivyowaachilieni, vivyo hivyo na ninyi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo