Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 18:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

32 Ndipo bwana wake akamwita, akamwambia, Ewe mtumishi mwovu, nalikusamehe deni ile yote, uliponisihi:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Hapo yule bwana alimwita huyo mtumishi, akamwambia, ‘Wewe ni mtumishi mbaya sana! Uliniomba, nami nikakusamehe deni lako lote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Hapo yule bwana alimwita huyo mtumishi, akamwambia, ‘Wewe ni mtumishi mbaya sana! Uliniomba, nami nikakusamehe deni lako lote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Hapo yule bwana alimwita huyo mtumishi, akamwambia, ‘Wewe ni mtumishi mbaya sana! Uliniomba, nami nikakusamehe deni lako lote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 “Yule bwana akamwita yule mtumishi akamwambia, ‘Wewe mtumishi mwovu! Mimi nilikusamehe deni lako lote uliponisihi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 “Yule bwana akamwita yule mtumishi akamwambia, ‘Wewe mtumishi mwovu! Mimi nilikusamehe deni lako lote uliponisihi.

Tazama sura Nakili




Mathayo 18:32
7 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana wa mtumishi yule akamhurumia, akamfungua, akamsamehe ile deni.


Bassi wajoli wake walipoyaona yaliyotendeka, wakasikitika sana, wakaenda wakamfafanulia bwana wao yote yaliyotendeka.


nawe, je, haikukupasa kumrehemu mjoli wako, kama mimi nilivyokurehemu wewe?


Bwana wake akajibu, akamwambia, Mtumishi mbaya na mlegevu, ulijua ya kuwa navuna nisipopanda, nakusanya nisipotawanya;


Akamwambia, Kwa kinywa chako nitakuhukumu, ee mtumishi mwovu wewe. Ulijua ya kuwa mimi mtu mgumu, naondoa nisichoweka, navuna nisichopanda;


Twajua ya kuwa mambo yote yasemwayo na torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, illi killa kinywa kifumbwe, ulimwengu wote ukapasiwe na hukumu ya Mungu:


Maana hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Na huruma hujitukuza juu ya hukumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo