Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 18:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 Nae hakutaka, akaenda, akamtupa kifungoni, hatta atakapoilipa ile deni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Lakini yeye hakutaka, bali alimtia gerezani mpaka hapo atakapolipa lile deni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Lakini yeye hakutaka, bali alimtia gerezani mpaka hapo atakapolipa lile deni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Lakini yeye hakutaka, bali alimtia gerezani mpaka hapo atakapolipa lile deni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 “Lakini akakataa. Badala yake, alienda akamtupa gerezani hata atakapolipa hilo deni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 “Lakini akakataa. Badala yake, alienda akamtupa gerezani hata atakapolipa hilo deni.

Tazama sura Nakili




Mathayo 18:30
5 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi mjoli wake akaanguka miguuni pake, akamsihi, akinena, Niwie kwa saburi, nami nitakulipa vyote pia.


Bassi wajoli wake walipoyaona yaliyotendeka, wakasikitika sana, wakaenda wakamfafanulia bwana wao yote yaliyotendeka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo