Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 18:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

27 Bwana wa mtumishi yule akamhurumia, akamfungua, akamsamehe ile deni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Yule bwana alimwonea huruma, akamsamehe lile deni, akamwacha aende zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Yule bwana alimwonea huruma, akamsamehe lile deni, akamwacha aende zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Yule bwana alimwonea huruma, akamsamehe lile deni, akamwacha aende zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Yule bwana wa huyo mtumishi akamwonea huruma, akafuta deni lake lote, akamwacha aende zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Yule bwana wa huyo mtumishi akamwonea huruma, akafuta deni lake lote, akamwacha aende zake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 18:27
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mtumishi yule akatoka, akamwona mmoja wa wajoli wake, aliyewiwa nae dinari mia; akamkamata, akamshika koo, akinena, Nilipe uwiwacho.


Ndipo bwana wake akamwita, akamwambia, Ewe mtumishi mwovu, nalikusamehe deni ile yote, uliponisihi:


Nao wakiwa hawana kitu cha kulipa, akawasamehe wote wawili. Bassi, sema, Katika hawo ni nani atakaempenda zaidi?


Simon akajibu akasema, Nadhani ni yule aliyesamehewa nae mengi. Akamwambia, Umehukumu haki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo