Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 18:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

22 Yesu akamwumbia, Sikuambii hatta marra saba, bali hatta marra sabaini fi saba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Yesu akamjibu, “Sisemi mara saba tu, bali sabini mara saba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Yesu akamjibu, “Sisemi mara saba tu, bali sabini mara saba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Yesu akamjibu, “Sisemi mara saba tu, bali sabini mara saba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Isa akamjibu, “Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Isa akamjibu, “Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.

Tazama sura Nakili




Mathayo 18:22
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu hii ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme mmoja aliyetaka kufanya hesabu na watumisbi wake.


Nanyi, killa msimamapo na kusali, sameheni, kama mkiwa na neno juu ya mtu: illi Baba yenu aliye mbinguni awasamehe na ninyi makosa yenu.


Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.


Mwe na ghadhabu, wala msifanye dhambi; jua lisichiwe na uchugu wenu bado kukutokeni;


Uchungu wote na hasira na ghadhabu na kelele na matukano yaondoke kwenu, pamoja na killa ubaya;


mkichukuliana, na kuachiliana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mtu; jinsi Kristo alivyowaachilieni, vivyo hivyo na ninyi.


Bassi nataka wanaume waombe killa mahali, wakimua mikono mitakatifu, pasipo hasira na majadiliano.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo