Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 18:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Hatta akipata kumwona, amin nawaambieni, amfurahia huyu zaidi, kuliko wale tissa na tissaini wasiopotea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Akimpata, nawaambieni kweli, humfurahia huyo kuliko awafurahiavyo wale tisini na tisa ambao hawakupotea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Akimpata, nawaambieni kweli, humfurahia huyo kuliko awafurahiavyo wale tisini na tisa ambao hawakupotea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Akimpata, nawaambieni kweli, humfurahia huyo kuliko awafurahiavyo wale tisini na tisa ambao hawakupotea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Naye akishampata, amin, nawaambia, hufurahi zaidi kwa ajili ya huyo kondoo mmoja kuliko wale tisini na tisa ambao hawakupotea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Naye akishampata, amin, nawaambia, hufurahi zaidi kwa ajili ya huyo kondoo mmoja kuliko wale tisini na tisa ambao hawakupotea.

Tazama sura Nakili




Mathayo 18:13
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mwaonaje? mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je, hawaachi wale tissa na tissaini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea?


Vivyo hivyo haipendezi mbele za Baba yenu aliye mbinguni mmoja wa wadogo hawa apotee.


haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;


Maana hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Na huruma hujitukuza juu ya hukumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo