Mathayo 18:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Maana Mwana wa Mtu alikuja kuwaokoa wale waliopotea.] (Taz Luka 19:10). Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Maana Mwana wa Mtu alikuja kuwaokoa wale waliopotea.] (Taz Luka 19:10). Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.] Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.] Tazama sura |