Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 18:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Maana Mwana wa Mtu alikuja kuwaokoa wale waliopotea.] (Taz Luka 19:10).

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Maana Mwana wa Mtu alikuja kuwaokoa wale waliopotea.] (Taz Luka 19:10).

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.]

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.]

Tazama sura Nakili




Mathayo 18:11
12 Marejeleo ya Msalaba  

afadhali shikeni njia kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.


Nae akajibu, akasema, Sikupelekwa illa kwa kondoo zilizopotea za nyumba ya Israeli.


Mwaonaje? mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je, hawaachi wale tissa na tissaini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea?


Nae Yesu akisikia, akawaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi.


Kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, nae amefufuka: alikuwa amepotea, nae ameonekana. Wakaanza kufanya furaha.


Tena kufanya furaha na kuona furaha kulikuwa wajib, kwa maana huyu ndugu yako alikuwa amekufa, nae amefufuka: alikuwa amepotea, nae ameonekana.


Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja illi kutafuta kilichopotea na kukiokoa.


Maana Mwana wa Adamu hakuja kuziangamiza roho za wana Adamu, bali kuziokoa. Wakaenda zao hatta mji mwingine.


Mwizi haji illa aibe, achinje, aharibu; mimi nalikuja wawe na uzima, na wawe nao tele.


Na mtu akisikia maneno yangu, asiyashike, mimi simhukumu; maana sikuja niuhukumu ulimwengu, bali niuokoe ulimwengu.


Maana Mungu hakumpeleka Mwana wake ulimwenguni auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe nae.


Ni neno la kuaminiwa, listahililo kukubaliwa na watu wote, ya kwamba Kristo Yesu alikuja ulimwenguni, awaokoe wenye dhambi; na mimi wa kwanza wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo