Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 17:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 nao watamwua, na siku ya tatu atafufuka. Wakasikitika sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Watamuua, lakini siku ya tatu atafufuliwa.” Wanafunzi wakahuzunika mno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Watamuua, lakini siku ya tatu atafufuliwa.” Wanafunzi wakahuzunika mno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Watamuua, lakini siku ya tatu atafufuliwa.” Wanafunzi wakahuzunika mno.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Nao watamuua, lakini siku ya tatu atafufuliwa.” Wanafunzi wakahuzunika sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Nao watamuua, lakini siku ya tatu atafufuliwa.” Wanafunzi wakahuzunika sana.

Tazama sura Nakili




Mathayo 17:23
18 Marejeleo ya Msalaba  

Toka wakati huo Yesu akaanza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemi, na kuteswa mengi na wazee na makuhani wakuu, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.


Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu akawaagiza, akinena, Msimwambie mtu khabari ya mambo hayo, hatta Mwana wa Adamu atakapofufuka katika wafu.


na watampeleka kwa Mataifa wapate kumdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumsulibi; na siku ya tatu atafufuka.


wakinena, Bwana, tumekumbuka kwamba yule mjanja alisema, alipokuwa hayi bado, Baada ya siku tatu nitafufuka.


Akaanza kuwafundisha kwamba imempasa Mwana wa Adamu kupata mateso mengi, na kukataliwa na wazee, na makuhani, wakuu na waandishi, na kuuawa, na baada ya siku tatu kufufuka.


Wakatoka huko, wakapita kati kati ya Galilaya: nae hakutaka mtu ajue.


Illa kwa sababa nimewaambieni haya, huzimi imejaa mioyoni mwenu.


Yesu akajibu, akawaambia, Livunjeni hekalu hii, nami kwa siku tatu nitaisimamisha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo