Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 17:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Bwana, mrehemu mwana wangu, kwa kuwa hushikwa na kifafa, na kuteswa vibaya: maana marra nyingi huanguka motoni, na marra nyingi majini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 akasema, “Bwana, mwonee huruma mwanangu kwa kuwa ana kifafa, tena anateseka sana; mara nyingi yeye huanguka motoni na majini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 akasema, “Bwana, mwonee huruma mwanangu kwa kuwa ana kifafa, tena anateseka sana; mara nyingi yeye huanguka motoni na majini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 akasema, “Bwana, mwonee huruma mwanangu kwa kuwa ana kifafa, tena anateseka sana; mara nyingi yeye huanguka motoni na majini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 “Bwana, mhurumie mwanangu. Yeye ana kifafa na anateseka sana. Mara kwa mara huanguka kwenye moto au kwenye maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 “Bwana, mhurumie mwanangu. Yeye ana kifafa na anateseka sana. Mara kwa mara huanguka kwenye moto au kwenye maji.

Tazama sura Nakili




Mathayo 17:15
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na mwanamke Mkauanaya wa mipaka ile akatokea, akampaazia sauti, akinena, Unirehemu. Bwana, Mwana wa Daud; binti yangu amepagawa sana na pepo.


Nikamleta kwa wanafunzi wako, nao hawakuweza kumponya.


Khabari zake zikaenea katika Sham yote; wakamletea watu waliokuwa hawawezi, walioshikwa mi maradhi mbali mbali na mateso, nao wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


nao waliosumbuliwa na pepo wachafu; wakaponywa.


Yuda nae, yule aliyetaka kumsaliti, alipajua mahali pale; kwa sababu Yesu alikwenda huko marra nyingi pamoja na wanafunzi wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo