Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 16:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

25 Maana mtu atakae kuisalimisha roho yake, ataiangamiza; na mtu atakaeitoa roho yake kwa ajili yangu, ataiona.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Maana, mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Maana, mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Maana, mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata.

Tazama sura Nakili




Mathayo 16:25
10 Marejeleo ya Msalaba  

Anaeipata roho yake ataiangamiza; nae anaeitoa roho yake kwa ajili yangu ataipata.


Kwa maana atafaidiwa mtu nini akiupata ulimwengu wote, na kupata khasara ya roho yake? au mtu atatoa nini badala ya roho yake?


Kwa maana atakae kuisalimisha roho yake, ataiangamiza, na mtu atakaeitoa roho yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya injili, huyu ataisalimisha.


Mtu ye yote atakaeisalimisha roho yake ataiangamiza, na mtu ye yote atakaeitoa ataihifadhi.


Aipendae roho yake ataiangamiza; nae aichukiae roho yake katika ulimwengu huu ataihifadhi hatta uzima wa milele.


Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; wala hawakupenda maisha yao hatta wakati wa kufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo