Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 15:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Mkalitangua neno la Mungu kwa mapokeo yemi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 basi hana tena sababu ya kumheshimu baba yake nacho. Basi kwa ajili ya mafundisho yenu mnavunja amri ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 basi hana tena sababu ya kumheshimu baba yake nacho. Basi kwa ajili ya mafundisho yenu mnavunja amri ya Mungu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 15:6
12 Marejeleo ya Msalaba  

Bali ninyi hunena, Afakaemwambia baba yake au mama yake, Cho chote kikupasacho kufaidiwa nami ni sadaka, asimheshimu baba yake au mama yake, huwa bassi.


Enyi wanafiki, ni vyema alivyotabiri Isaya katika khabari zenu, akinena,


mkilitangua neno la Mungu kwa hadithi yenu mliyohadithia; tena mwafanya mambo mengi yaliyo sawasawa na hayo.


Bassi, je! twaibatilisha sharia kwa imani hiyo? Hasha! kinyume cha hayo twaithubutisha sharia.


Mwanamume au mwanamke aamimye, akiwa na wajane, awasaidie, kanisa lisilemewe; illi liwasaidie wale walio wajane kweli kweli.


Lakini mtu asiyewatunza walio wake na khassa watu wa nyumba yake ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko yeye asiyeamini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo