Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 15:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Bali ninyi hunena, Afakaemwambia baba yake au mama yake, Cho chote kikupasacho kufaidiwa nami ni sadaka, asimheshimu baba yake au mama yake, huwa bassi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Lakini nyinyi mwafundisha ati mtu akiwa na kitu ambacho angeweza kumsaidia nacho baba yake au mama yake, lakini akasema: ‘Kitu hiki nimemtolea Mungu,’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Lakini nyinyi mwafundisha ati mtu akiwa na kitu ambacho angeweza kumsaidia nacho baba yake au mama yake, lakini akasema: ‘Kitu hiki nimemtolea Mungu,’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Lakini nyinyi mwafundisha ati mtu akiwa na kitu ambacho angeweza kumsaidia nacho baba yake au mama yake, lakini akasema: ‘Kitu hiki nimemtolea Mungu,’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Lakini ninyi mwafundisha kwamba mtu akimwambia baba yake au mama yake, ‘Kile ambacho ningeweza kukusaidia kimewekwa wakfu kwa Mungu,’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Lakini ninyi mwafundisha kwamba mtu akimwambia baba yake au mama yake, ‘Kile ambacho ningeweza kukusaidia kimewekwa wakfu kwa Mungu,’

Tazama sura Nakili




Mathayo 15:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa Mungu aliamuru, akisema, Mheshimu baba yako na mama yako; na, Amtukanae baba yake au mama yake na afe.


Mkalitangua neno la Mungu kwa mapokeo yemi.


Petro na Yohana wakawajibu wakawaambia,


Petro na mitume wakajibu, wakaaena, Imetupasa kumtii Mungu kuliko wana Adamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo