Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 15:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Kwa kuwa Mungu aliamuru, akisema, Mheshimu baba yako na mama yako; na, Amtukanae baba yake au mama yake na afe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mungu amesema: ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na ‘Anayemtukana baba yake au mama yake, lazima auawe.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mungu amesema: ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na ‘Anayemtukana baba yake au mama yake, lazima auawe.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mungu amesema: ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na ‘Anayemtukana baba yake au mama yake, lazima auawe.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Kwa maana Mungu alisema, ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na, ‘Yeyote amtukanaye baba yake au mama yake, na auawe.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kwa maana Mungu alisema, ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na, ‘Yeyote amtukanaye baba yake au mama yake, na auawe.’

Tazama sura Nakili




Mathayo 15:4
18 Marejeleo ya Msalaba  

Akajibu, akawaambia, Mbona na ninyi huikhalifu amri ya Mungu kwa mapokeo yenu?


Bali ninyi hunena, Afakaemwambia baba yake au mama yake, Cho chote kikupasacho kufaidiwa nami ni sadaka, asimheshimu baba yake au mama yake, huwa bassi.


Waheshimu baba yako na mama yako, na, Mpende jirani yako kama nafsi yako.


Ndipo Yesu akamwambia, Nenda zako, Shetani: kwa maana imeandikwa, Utamsujudia Bwana Mungu wako, nae peke yake utamwabudu.


Bassi, je! twaibatilisha sharia kwa imani hiyo? Hasha! kinyume cha hayo twaithubutisha sharia.


WATOTO, watiini wazazi wenn katika Bwana, maana hii ndio haki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo