Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 15:39 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

39 Akawaaga makutano, akapanda chomboni, akaenda pande za Magdala.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Basi, Yesu akawaaga watu, akapanda mashua, akaenda katika eneo la Magadani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Basi, Yesu akawaaga watu, akapanda mashua, akaenda katika eneo la Magadani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Basi, Yesu akawaaga watu, akapanda mashua, akaenda katika eneo la Magadani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Baada ya kuaga umati wa watu, Isa aliingia katika mashua, akaenda sehemu za Magadani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Baada ya kuaga ule umati wa watu, Isa aliingia katika mashua, akaenda sehemu za Magadani.

Tazama sura Nakili




Mathayo 15:39
4 Marejeleo ya Msalaba  

Marra Yesu akawalazimisha wamifunzi wake wapande chomboni na kutangulia mbele yake kwenda ngʼambu, wakati yeye alipokuwa akiwaaga makutano.


Nao waliokula walikuwa wanaume elfu nne, bila wanawake na watoto.


Akawaambia wanafunzi wake ya kama chombo kidogo kikae karibu nae, kwa sababu ya makutano, wasije wakamsonga.


Marra akapanda chomboni pamoja na wanafunzi wake, akaenda pande za Dalmanutha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo