Mathayo 15:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Akajibu, akawaambia, Mbona na ninyi huikhalifu amri ya Mungu kwa mapokeo yenu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Yesu akawajibu, “Kwa nini nanyi hamjali sheria ya Mungu ila mnapendelea mapokeo yenu wenyewe? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Yesu akawajibu, “Kwa nini nanyi hamjali sheria ya Mungu ila mnapendelea mapokeo yenu wenyewe? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Yesu akawajibu, “Kwa nini nanyi hamjali sheria ya Mungu ila mnapendelea mapokeo yenu wenyewe? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Isa akawajibu, “Mbona ninyi mnavunja amri ya Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Isa akawajibu, “Mbona ninyi mnavunja amri ya Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu? Tazama sura |