Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 15:29 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

29 Yesu akapita huko, akafika kando ya bahari ya Galilaya; akapanda mlimani, akaketi huko.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Yesu alitoka hapo akaenda kando ya ziwa Galilaya, akapanda mlimani, akaketi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Yesu alitoka hapo akaenda kando ya ziwa Galilaya, akapanda mlimani, akaketi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Yesu alitoka hapo akaenda kando ya ziwa Galilaya, akapanda mlimani, akaketi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Isa akaondoka na kwenda kando ya Bahari ya Galilaya. Kisha akapanda mlimani, akaketi huko.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Isa akaondoka na kwenda kando ya Bahari ya Galilaya. Kisha akapanda mlimani, akaketi huko.

Tazama sura Nakili




Mathayo 15:29
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamkusanyikia watu wengi, hatta akapanda chomboni, akaketi; na mkutano wote wakasimama pwani.


Nae Yesu akitembea kando ya bahari ya Galilaya, akaona ndugu wawili, Simon aitwae Petro, na Andrea ndugu yake, wakitupa jarife baharini; maana walikuwa wavuvi.


NAE akivaona makutano, akapanda mlimani; na alipokwisha kuketi, wanafunzi wake wakamjia;


Nae akipita kando ya bahari ya Galilaya, akamwona Simon na Andrea ndugu yake, wakitupa jarife baharini; kwa maana walikuwa wavuvi.


IKAWA makutano walipomsonga, wakisikiliza neno la Mungu, yeye alikuwa akisimama kando ya ziwa la Genesareti:


BAADA ya haya Yesu alijionyesha tena kwa wanafunzi wake, penye bahari ya Tiberia; nae alijionyesha hivi.


BAADA ya haya Yesu alikwenda zake ngʼambu ya bahari ya Galilaya, bahari ya Tiberia.


(lakini mashua nyingine zilikuja kutoka Tiberia karibu na pahali pale walipokula mikate, wakati Bwana aiiposhukuru);


Tufuate:

Matangazo


Matangazo