Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 15:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Akajibu akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Yesu akamjibu, “Si vizuri kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Yesu akamjibu, “Si vizuri kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Yesu akamjibu, “Si vizuri kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Isa akajibu, “Si haki kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Isa akajibu, “Si haki kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 15:26
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nae akaja akamsujudia, akinena. Bwana, nisaidie.


Akasema, Ndio, Bwana, illakini hatta mbwa hula makombo yaangukayo mezani pa bwana zao.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararueni.


ambao ni Waisraeli, wenye kufanywa wana, wenye utukufu na maagano, wenye kupewa torati na ibada ya Mungu na ahadi zake; ambao mababu ni wao,


Sisi tulio Wayahudi kwa asili, wala si wenye dhambi wa mataifa,


kwamba zamani zile mlikuwa hamna Kristo, mmefarakana na jamii ya Israeli, wageni, wasio wa maagano ya ahadi; mlikuwa hamna tumaini, hamna Mungu duniani.


Jihadharini na mbwa, jihadharini nao watendao mabaya, jihadharini nao wajikatao.


Bali nje wako mbwa na wachawi na wazinzi na wauaji nao waabuduo sanamu, na killa mtu apendae uwongo na kuufanya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo