Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 15:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

25 Nae akaja akamsujudia, akinena. Bwana, nisaidie.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Hapo huyo mama akaja, akamsujudia, akasema, “Bwana, nisaidie.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Hapo huyo mama akaja, akamsujudia, akasema, “Bwana, nisaidie.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Hapo huyo mama akaja, akamsujudia, akasema, “Bwana, nisaidie.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Isa, akasema, “Bwana, nisaidie!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Isa, akasema, “Bwana, nisaidie!”

Tazama sura Nakili




Mathayo 15:25
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nao waliokuwa ndani ya chombo wakamwendea, wakamsujudia, wakinena, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.


Akajibu akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.


Makutano wakawakaripia, wanyamaze. Lakini wao wakazidi kupaaza sauti zao, wakinena, Uturehemu, Ee Bwana, mwana wa Daud!


Akaja mwenye ukoma akamsujudu, akinena, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.


Na marra nyingi amemtupa katika moto, na katika maji, amwangamize; lakini ukiweza neno, utuhurumie, utusaidie.


Marra baba yake yule kijana akapaaza sauti, machozi yakimtoka, akanena, Naamini, Bwana, nisaidie kutokuamini kwangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo