Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 15:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

24 Nae akajibu, akasema, Sikupelekwa illa kwa kondoo zilizopotea za nyumba ya Israeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Yesu akajibu, “Sikutumwa ila kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Yesu akajibu, “Sikutumwa ila kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Yesu akajibu, “Sikutumwa ila kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Isa akajibu, “Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli waliopotea.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Isa akajibu, “Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli waliopotea.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 15:24
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nae hakumjibu neno. Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakinena. Mwache aende zake; kwa maana anapiga kelele nyuma yetu.


Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.


Na alipowaona makutano, akawahurumia, kwa maana walikuwa wamechoka na kutawanyika kama kondoo wasio na mchunga.


Paolo na Barnaba wakanena kwa uthabiti wakasema, Ilikuwa lazima neno la Mungu linenwe kwenu kwanza: illakini kwa kuwa mnalisukumia mbali, wala hamjioni nafsi zenu kuwa mmestahili uzima wa milele, angalieni, twawageukia mataifa.


Bassi nasema, Yesu Kristo amefanyika mkhudumu wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli ya Mungu, kusudi azithubutishe ahadi walizopewa haha zetu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo