Mathayo 15:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192120 hayo ndiyo yamtiayo najis mwana Adamu; lakini kula kabla hajanawa mikono hakumtii mwana Adamu najis. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Hayo ndiyo yanayomtia mtu unajisi. Lakini kula chakula bila kunawa mikono hakumtii mtu unajisi.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Hayo ndiyo yanayomtia mtu unajisi. Lakini kula chakula bila kunawa mikono hakumtii mtu unajisi.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Hayo ndiyo yanayomtia mtu unajisi. Lakini kula chakula bila kunawa mikono hakumtii mtu unajisi.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Haya ndio yamtiayo mtu unajisi; lakini kula bila kunawa mikono hakumtii mtu unajisi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Haya ndiyo yamtiayo mtu unajisi; lakini kula bila kunawa mikono hakumtii mtu unajisi.” Tazama sura |