Mathayo 15:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192119 Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, mauaji, mazini, asharati, uizi, ushuhuda wa uwongo, na matukano; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Maana moyoni hutoka mawazo ya uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na kashfa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Maana moyoni hutoka mawazo ya uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na kashfa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Maana moyoni hutoka mawazo ya uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na kashfa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Kwa maana ndani ya moyo hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na masingizio. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Kwa maana ndani ya moyo hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na masingizio. Tazama sura |