Mathayo 15:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192118 Bali vitokavyo kinywani vyatoka moyoni; navyo ndivyo vimtiavyo najis mwana Adamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Lakini mambo yatokayo kinywani hutoka moyoni, na hayo ndiyo yanayomtia mtu unajisi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Lakini mambo yatokayo kinywani hutoka moyoni, na hayo ndiyo yanayomtia mtu unajisi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Lakini mambo yatokayo kinywani hutoka moyoni, na hayo ndiyo yanayomtia mtu unajisi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Lakini kitokacho kinywani hutoka moyoni, na hiki ndicho kimtiacho mtu unajisi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Lakini kitokacho kinywani hutoka moyoni, na hiki ndicho kimtiacho mtu unajisi. Tazama sura |