Mathayo 15:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192117 Hamjafahamu bado ya kuwa killa kiingiacho kinywani hupita tumboni, kikatupwa chooni? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Je, hamwelewi kwamba kila kinachoingia kinywani huenda tumboni na baadaye hutolewa nje chooni? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Je, hamwelewi kwamba kila kinachoingia kinywani huenda tumboni na baadaye hutolewa nje chooni? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Je, hamwelewi kwamba kila kinachoingia kinywani huenda tumboni na baadaye hutolewa nje chooni? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Je, hamwelewi kwamba chochote kiingiacho kinywani huenda tumboni, na hatimaye hutolewa nje kikiwa uchafu? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Je, hamwelewi kwamba chochote kiingiacho kinywani huenda tumboni, na hatimaye hutolewa nje kikiwa uchafu? Tazama sura |