Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 15:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Hatta na ninyi mngali hamna akili?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Yesu akasema, “Hata nyinyi hamwelewi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Yesu akasema, “Hata nyinyi hamwelewi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Yesu akasema, “Hata nyinyi hamwelewi?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Isa akawauliza, “Je, bado ninyi hamfahamu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Isa akawauliza, “Je, bado ninyi hamfahamu?

Tazama sura Nakili




Mathayo 15:16
15 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu aliwaambia, Mmeyafahamu haya yote? Wakamwambia, Naam, Bwana.


Akawaita makutano akawaambia, Sikieni, mfahamu:


Petro akajibu, akamwambia, Tueleze mfano huo. Yesu akasema,


Hamjafahamu bado ya kuwa killa kiingiacho kinywani hupita tumboni, kikatupwa chooni?


Imekuwaje hamkufahamu ya kuwa si kwa sababu ya mkate naliwaambieni, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo?


Hamjafahamu hado, wala hamkumbuki ile mikate mitano kwa wale elfu tano, na vikapu vingapi mlivyookota?


kwa maana hawakufahamu khabari za ile mikate, walakini mioyo yao ilikuwa migumu.


Akawaambia, Hivi na ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kuwa killa kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia najis;


Nao hawakulifahamu neno lile, wakaogopa kumwuliza.


Nao hawakufahamu haya hatta kidogo, neno hili likawa limefichwa kwao, wala hawakuyajua yaliyonenwa.


Ndipo akaamsha akili zao, wapate kuyatambua maandiko matakatifu.


Lakini hawakulifuhamu neno lile, likawa limefichwa kwao wasipate kulitambua. Wakaogopa kumwuliza maana ya neno lile.


Kwa maana, iwapasapo kuwa waalimu, (maana wakati mwingi umepita) mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu; nanyi mmekuwa mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo