Mathayo 15:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192113 Akajibu, akasema, Killa pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni, litangʼolewa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Lakini yeye akawajibu, “Kila mmea ambao Baba yangu aliye mbinguni hakupanda, utangolewa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Lakini yeye akawajibu, “Kila mmea ambao Baba yangu aliye mbinguni hakupanda, utangolewa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Lakini yeye akawajibu, “Kila mmea ambao Baba yangu aliye mbinguni hakupanda, utang'olewa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Akawajibu, “Kila mmea ambao Baba yangu wa mbinguni hakuupanda utang’olewa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Akawajibu, “Kila pando ambalo Baba yangu wa mbinguni hakulipanda, litang’olewa. Tazama sura |