Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 15:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 NDIPO waandishi na Mafarisayo toka Yerusalemi wakamwendea Yesu wakinena,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Kisha Mafarisayo na waalimu wa sheria wakafika kutoka Yerusalemu, wakamwendea Yesu, wakamwuliza,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Kisha Mafarisayo na waalimu wa sheria wakafika kutoka Yerusalemu, wakamwendea Yesu, wakamwuliza,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Kisha Mafarisayo na waalimu wa sheria wakafika kutoka Yerusalemu, wakamwendea Yesu, wakamwuliza,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Ndipo baadhi ya Mafarisayo na walimu wa Torati wakamjia Isa kutoka Yerusalemu na kumuuliza,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Ndipo baadhi ya Mafarisayo na walimu wa Torati wakamjia Isa kutoka Yerusalemu na kumuuliza,

Tazama sura Nakili




Mathayo 15:1
11 Marejeleo ya Msalaba  

Waandishi na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa:


Maana nawaambieni, Haki yenu isipozidi kuliko haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.


Waandishi walioshuka kutoka Yahudi wakanena, Ana Beelzebul, na kwa uwezo wa mkuu wa pepo awafukuza pepo.


Hatta siku moja ya siku zile alikuwa akifundisha, na Mafarisayo na waandishi wameketi, waliokuwa wametoka katika killa kijiji cha Galilaya, na cha Yahudi, na Yerusalemi; uweza wa Bwana ulikuwa pamoja nae apate kuwaponya.


Wale waandishi na Mafarisayo wakaanza kutafakari wakanena, Nani huyu anaesema kufuru? Nani awezae kuondoa dhambi, isipokuwa mmoja ndiye Mungu?


Mafarisayo na waandishi wao wakawanungʼunikia wanafunzi wake, wakisema, Kwa nini mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?


Na huu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotuma makuhani na Walawi toka Yerusalemi wamwulize, Wewe u nani?


Pakawa makelele mengi. Waandishi wa upande wa Mafarisayo wakasimama, wakamtetea, wakisema, Hatuoni uovu wo wote katika mtu huyu; bali ikiwa roho au malaika amesema nae tusishindane na Mungu.


Walipokuja Wayahudi walioshuka kutoka Yerusalemi wakasimama karibu yake wakaleta mashitaka mengi na mazito juu yake, wasiyoweza kuyathuhutisha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo