Mathayo 14:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Nae, akishawishwa na mama yake, akasema, Nipe hapa katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Naye, huku akichochewa na mama yake, akaomba, “Nipe papa hapa katika sinia kichwa cha Yohane Mbatizaji.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Naye, huku akichochewa na mama yake, akaomba, “Nipe papa hapa katika sinia kichwa cha Yohane Mbatizaji.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Naye, huku akichochewa na mama yake, akaomba, “Nipe papa hapa katika sinia kichwa cha Yohane Mbatizaji.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Huyo binti, akiwa amechochewa na mama yake, akasema, “Nipe kichwa cha Yahya kwenye sinia.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Huyo binti, akiwa amechochewa na mama yake, akasema, “Nipe kichwa cha Yahya kwenye sinia.” Tazama sura |