Mathayo 14:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19215 Na alipotaka kumwua, aliwaogopa watu, maana walimwona kuwa nabii. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Herode alitaka kumuua Yohane, lakini aliogopa watu kwa sababu kwao Yohane alikuwa nabii. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Herode alitaka kumuua Yohane, lakini aliogopa watu kwa sababu kwao Yohane alikuwa nabii. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Herode alitaka kumuua Yohane, lakini aliogopa watu kwa sababu kwao Yohane alikuwa nabii. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Herode alitaka sana kumuua Yahya, lakini akaogopa watu, kwa maana walimtambua kuwa ni nabii. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Herode alitaka sana kumuua Yahya, lakini akaogopa watu, kwa maana walimtambua kuwa ni nabii. Tazama sura |