Mathayo 14:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192133 Nao waliokuwa ndani ya chombo wakamwendea, wakamsujudia, wakinena, Hakika wewe u Mwana wa Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Wote waliokuwa ndani ya mashua walimsujudia, wakasema, “Hakika wewe ni Mwana wa Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Wote waliokuwa ndani ya mashua walimsujudia, wakasema, “Hakika wewe ni Mwana wa Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Wote waliokuwa ndani ya mashua walimsujudia, wakasema, “Hakika wewe ni Mwana wa Mungu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Ndipo wote waliokuwa ndani ya ile mashua wakamwabudu Isa, wakisema, “Hakika, wewe ndiwe Mwana wa Mungu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Ndipo wote waliokuwa ndani ya ile mashua wakamwabudu Isa, wakisema, “Hakika, wewe ndiwe Mwana wa Mungu.” Tazama sura |