Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 14:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

32 Walipopanda chomboni, upepo ukakoma.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Kisha wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Kisha wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Kisha wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Nao walipoingia ndani ya mashua, upepo ukakoma.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Nao walipoingia ndani ya mashua, upepo ukakoma.

Tazama sura Nakili




Mathayo 14:32
6 Marejeleo ya Msalaba  

Marra Yesu akanyosha mkono wake, akamshika, akamwambia, Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka?


Nao waliokuwa ndani ya chombo wakamwendea, wakamsujudia, wakinena, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.


Wakaingizwa na khofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, bassi, hatta upepo na bahari zamtii?


Akapanda mle cbomboni walimo; npepo ukakoma; wakashangaa sana, kupita kiasi, wakastaajabu;


Bassi wakataka kumpokea chomboni; na marra hiyo chombo kikaifikilia inchi waliyokuwa wakienda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo