Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 14:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

27 Marra Yesu akasema nao, akinena, Jipeni moyo; ni mimi; msiogope.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Mara, Yesu akasema nao, “Tulieni, ni mimi. Msiogope!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Mara, Yesu akasema nao, “Tulieni, ni mimi. Msiogope!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Mara, Yesu akasema nao, “Tulieni, ni mimi. Msiogope!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Lakini mara Isa akasema nao, akawaambia, “Jipeni moyo! Ni mimi. Msiogope.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Lakini mara Isa akasema nao, akawaambia, “Jipeni moyo! Ni mimi. Msiogope.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 14:27
21 Marejeleo ya Msalaba  

Petro akamjibu, akasema, Bwana, ikiwa ni wewe, niamuru nije kwako juu ya maji.


Yesu akaja, akawagusa, akasema, Ondokeni, msiogope.


Yesu akawaambia, Msiogope: enendeni, mkawaambie ndugu zangu waemle Galilaya, ndiko watakakoniona.


Malaika akajibu, akawaambia wale wanawake, Msiogope ninyi; kwa maana najua ya kuwa mnanitafuta Yesu aliyesulibiwa.


Wakamletea mgonjwa wa kupooza, amelala kitandani: na Yesu, akiona imani yao, akamwambia yule mgonjwa wa kupooza, Jipe moyo mkuu, mwanaugu; umeondolewa dhambi zako.


Marra akasema nao, akawaambia, Jipeni moyo: ni mimi msiogope.


Yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mke wako Elizabeti atakuzalia mtoto mwanamume, na jina lake utamwita Yohana.


Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu; kwa maana umepata neema kwa Mungu.


Msiogope, enyi kundi dogo, kwa kuwa Baba yenu ameona vyema kuwapeni ufalme.


Malaika akawaambia, Msifanye khofu; kwa maana nawaletea ninyi khabari njema za furaha kuu, itakayokuwa kwa watu wote:


Kadhalika Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, waliokuwa washiriki wa Simon, Yesu akamwambia Simon, Usiogope; tangu sasa utakuwa ukivua watu.


Haya nimewaambieni, mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mtapata shidda: lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.


Nae akawaambia. Ni mimi, msiogope.


Usiku ule Bwana akasimama karibu nae, akasema, Uwe na moyo mkuu, Paolo; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia khabari zangu Yerusalemi, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo