Mathayo 14:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192123 Alipokwisha kuwaaga makutano, akapanda mlimani kwa faragha, kwenda kusali. Na ilipokuwa jioni, alikuwako huko peke yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Baada ya kuwaaga watu, alipanda mlimani peke yake kusali. Ilipokuwa jioni, yeye alikuwa huko peke yake, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Baada ya kuwaaga watu, alipanda mlimani peke yake kusali. Ilipokuwa jioni, yeye alikuwa huko peke yake, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Baada ya kuwaaga watu, alipanda mlimani peke yake kusali. Ilipokuwa jioni, yeye alikuwa huko peke yake, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Baada ya kuwaaga, akaenda zake mlimani peke yake kuomba. Jioni ilipofika, Isa alikuwa huko peke yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Baada ya kuwaaga, akaenda zake mlimani peke yake kuomba. Jioni ilipofika, Isa alikuwa huko peke yake. Tazama sura |