Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 14:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Akasema, Nileteeni vitu vile hapa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Yesu akawaambia, “Nileteeni hapa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Yesu akawaambia, “Nileteeni hapa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Yesu akawaambia, “Nileteeni hapa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Akawaambia, “Nileteeni hivyo vitu hapa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Akawaambia, “Nileteeni hivyo vitu hapa.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 14:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamwambia, Hatuna kitu hapa illa mikate mitano na samaki mbili.


Akawaagiza makutano waketi katika majani; akaitwaa ile mikate mitano na zile samaki mbili, akatazama juu mbinguni, akabariki, akamega, akawapa wanafunzi ile mikate, wanafunzi wakawapa makutano.


Akawaagiza makutano waketi chini: akaitwaa ile mikate saba, akashukuru, akaimega, akawapa wanafunzi wake wawaandalie: wakawaandalia makutano,


Yesu akasema, Waketisheni watu. Palikuwako majani tele mahali pale. Bassi watu waume wakaketi, jumla yao wapata elfu tano.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo