Mathayo 14:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Yesu akatoka, akaona makutano mengi, akawahurumia, akawaponya wagonjwa wao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Basi, aliposhuka pwani, aliona umati mkubwa wa watu, akawaonea huruma, akawaponya wagonjwa wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Basi, aliposhuka pwani, aliona umati mkubwa wa watu, akawaonea huruma, akawaponya wagonjwa wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Basi, aliposhuka pwani, aliona umati mkubwa wa watu, akawaonea huruma, akawaponya wagonjwa wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Isa alipofika kando ya bahari, aliona makundi makubwa ya watu, akawahurumia na akawaponya wagonjwa wao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Isa alipofika kando ya bahari, aliona makutano makubwa ya watu, akawahurumia na akawaponya wagonjwa wao. Tazama sura |