Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 14:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Wanafunzi wake wakaenda, wakauchukua mwili wake, wakauzika; wakaenda wakampasha Yesu khabari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Wanafunzi wa Yohane wakaja, wakauchukua mwili wake, wakauzika. Kisha wakaenda kumpasha habari Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Wanafunzi wa Yohane wakaja, wakauchukua mwili wake, wakauzika. Kisha wakaenda kumpasha habari Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Wanafunzi wa Yohane wakaja, wakauchukua mwili wake, wakauzika. Kisha wakaenda kumpasha habari Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Wanafunzi wa Yahya wakaja na kuuchukua mwili wake, wakamzika. Kisha wakaenda wakamwambia Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Wanafunzi wa Yahya wakaja na kuuchukua mwili wake kwenda kuuzika. Kisha wakaenda wakamwambia Isa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 14:12
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kichwa chake kikaletwa katika kombe, akapewa yule kijana: akakichukua kwa mama yake.


Yesu aliposikia, akatoka huku katika chombo, akaenda mahali pasipo watu, kwa faragha. Na makutano waliposikia, wakamfuata kwa miguu toka miji yao.


Wauafunzi wake waliposikia khabari, wakaenda, wakachukua mayiti yake, wakamzika.


Watu watawa wakamzika Stefano, wakamfanyia maombolezo mengi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo