Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 14:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Kichwa chake kikaletwa katika kombe, akapewa yule kijana: akakichukua kwa mama yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Kichwa chake kikaletwa katika sinia, wakampa yule msichana, naye akampelekea mama yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Kichwa chake kikaletwa katika sinia, wakampa yule msichana, naye akampelekea mama yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Kichwa chake kikaletwa katika sinia, wakampa yule msichana, naye akampelekea mama yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Kichwa chake kikaletwa kwenye sinia, akapewa yule binti, naye akampelekea mama yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Kichwa chake kikaletwa kwenye sinia, akapewa yule binti, naye akampelekea mama yake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 14:11
12 Marejeleo ya Msalaba  

akatuma mtu, akamkata kichwa Yohana mle gerezani.


Wanafunzi wake wakaenda, wakauchukua mwili wake, wakauzika; wakaenda wakampasha Yesu khabari.


Nae, akishawishwa na mama yake, akasema, Nipe hapa katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji.


kwa kuwa walimwaga damu ya watakatifu na manabii, nawe umewapa damu, wainywe; nao wamestahili.


Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nilipomwona nikastaajabu ajabu kuu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo