Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 14:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 akatuma mtu, akamkata kichwa Yohana mle gerezani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Basi, Herode akatuma mtu gerezani amkate kichwa Yohane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Basi, Herode akatuma mtu gerezani amkate kichwa Yohane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Basi, Herode akatuma mtu gerezani amkate kichwa Yohane.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Hivyo akaagiza Yahya akatwe kichwa mle gerezani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Hivyo akaagiza Yahya akatwe kichwa mle gerezani.

Tazama sura Nakili




Mathayo 14:10
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kichwa chake kikaletwa katika kombe, akapewa yule kijana: akakichukua kwa mama yake.


Mfalme akasikitika; lakini kwa ajili ya nyapo zake, na kwa ajili ya wale walioketi chakulani pamoja nae, akaamuru apewe;


lakini nawaambieni, ya kwamba Eliya amekwisha kuja, wasimtambue, wakamtenda yote waliyotaka. Vivyo hivyo Mwana wa Adamu nae atateswa nao.


Lakini nawaambieni, Eliya amekwisha kuja, nao wakamtenda yote waliyoyataka kama alivyoandikiwa.


Herode akasema, Yohana nimemkata kichwa: bassi, nani huyu ambae ninasikia khabari zake za namna hii? Akatafuta kumwona.


Hatta watakapoumaliza ushuhuda wao yule nyama atokae katika abuso atafanya vifa nao, nae atawashinda na kuwaua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo