Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 14:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 WAKATI ule Herode tetrarka alisikia khabari za Yesu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Wakati huo, mtawala Herode alisikia sifa za Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Wakati huo, mtawala Herode alisikia sifa za Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Wakati huo, mtawala Herode alisikia sifa za Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Wakati huo, Mfalme Herode, mtawala wa Galilaya, alisikia habari za Isa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Wakati huo, Mfalme Herode, mtawala wa Galilaya, alisikia habari za Isa,

Tazama sura Nakili




Mathayo 14:1
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wala hakufanya miujiza mingi huko, kwa sababu ya kutokuamini kwao.


Zikaenea khabari hizi katika inchi ile yote.


Lakini wakatoka, wakaeneza khabari zake katika inchi ile yote.


Akawaagiza, akisema, Angalieni, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.


wala Herode nae; kwa maana naliwapelekeni kwake, wala hapana neno la kustahili kufa lililotendwa nae.


HATTA katika mwaka wa kumi na tano wa kutawala kwake Tiberio Kaisari, Pontio Pilato alipokuwa liwali wa Yahudi, na Herode tetrarka wa Galilaya, na Filipo ndugu yake tetrarka wa Iturea, na wa inchi ya Trakoniti, na Lusania tetrarka wa Abilene,


Lakini Herode tetrarka, akikaripiwa nae kwa ajili ya Herodias, mke wa Filipo, ndugu yake, na kwa ajili ya maovu yote aliyoyafanya Herode,


na Joanna mkewe Kuza waklli wake Herode, na Susanna, na wengine wengi, waliokuwa wakimkhudumia kwa mali zao.


PANAPO majira yaleytile Herode mfalme tw akanyosha mikono yake kuwatenda mabaya baadhi ya watu wa Kanisa.


NA huko Antiokia katika kanisa lililokuwako palikuwa na manabii na waalimu, Barnaba na Sumeon aitwae Niger, na Lukio Mkurene, na Manaen aliyekuwa ndugu wa kunyonya wa Herode mfalme, na Saul.


Maana ni kweli, Herode na Pontio Pilato pamoja na mataifa na watu wa Israeli, walikusanyika juu ya mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia mafuta,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo