Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 13:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Nyingine zikaanguka penye miiba; miiba ikamea, ikazisonga:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba hiyo ikakua, ikaisonga hiyo mimea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba hiyo ikakua, ikaisonga hiyo mimea.

Tazama sura Nakili




Mathayo 13:7
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nae aliyepandwa penye miiba, huyu ndiye alisikiae lile neno; na shughuli za dunia, na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno, likawa halizai.


na jua lilipozuka zikanyauka; na kwa kuwa hazina mizizi zikakauka.


nyingine zikaanguka penye udongo mwema, zikazaa, hizi mia, hizi sittini, hizi thelathini.


Nyingine zikaanguka penye miiba: ile miiba ikakua, ikazisonga, zisizae matunda.


Nyingine zikaanguka kati ya miiba, nayo miiba ikamea pamoja nazo, ikazisonga.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo