Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 13:56 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

56 na maumbu yake, wote hawako kwetu? Bassi huyu amepata wapi haya yote?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

56 Na dada zake je, si wote wako hapa pamoja nasi? Basi, amepata wapi haya yote?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

56 Na dada zake je, si wote wako hapa pamoja nasi? Basi, amepata wapi haya yote?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

56 Na dada zake je, si wote wako hapa pamoja nasi? Basi, amepata wapi haya yote?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

56 Nao dada zake wote, hawako hapa pamoja nasi? Mtu huyu amepata wapi basi mambo haya yote?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

56 Nao dada zake wote, hawako hapa pamoja nasi? Mtu huyu amepata wapi basi mambo haya yote?”

Tazama sura Nakili




Mathayo 13:56
2 Marejeleo ya Msalaba  

Wakachukizwa nae. Yesu akawaambia, Nabii hakosi heshima, isipokuwa katika inchi yake mwenyewe, na nyumbani mwake mwenyewe.


Huyu si yule sermala, mwana wa Mariamu, na ndugu wii Yakobo, na Yose, na Yuda, na Simon? na ndugu zake wanawake hawapo hapa petu? Wakachukizwa nae.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo