Mathayo 13:47 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192147 Tena ufalme wa mbinguni umefanana na juya, lililotupwa baharini, likakusanya za killa namna: Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema47 “Tena, ufalme wa mbinguni unafanana na wavu uliotupwa baharini, ukanasa samaki wa kila aina. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND47 “Tena, ufalme wa mbinguni unafanana na wavu uliotupwa baharini, ukanasa samaki wa kila aina. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza47 “Tena, ufalme wa mbinguni unafanana na wavu uliotupwa baharini, ukanasa samaki wa kila aina. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu47 “Tena, ufalme wa mbinguni ni kama wavu wa kuvua samaki uliotupwa baharini ukavua samaki wa kila aina. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu47 “Tena, Ufalme wa Mbinguni ni kama wavu wa kuvua samaki uliotupwa baharini ukavua samaki wa kila aina. Tazama sura |